Pages

Giraffe Hotel, The best hotel in town!

Giraffe Hotel, it is the best hotel in town! Visit it for the best hotel services!.

Giraffe Hotel, The best hotel in town!

Giraffe Hotel, it is the best hotel in town! Visit it for the best hotel services!.

Monday, May 28, 2012

SARAH PAUL NDIYE MISS TABORA 2012

 Mshindi wa redd's miss Tabora 'Sarah Paul '
mshindi wa taji la Redds Miss Tabora 2012 Sarah Paul katikakati akiwa na washindi wengine wawili Glory Mongi kulia na Alice Amour kushoto mara baada ya kufanikiwa kutawaza washindi wa taji hilo na kufanikiwa kuingia katika kinyanganyiro cha kanda kuelekea kwenye fainali ya Redds Miss Tanzania 2012

FLAVIANA MAEDA NDIYE MISS KURASINI 2012

 Miss Kurasini 2012,Neemadoreen sivery akiwa ameketi katika kiti baada ya kuvikwa taji hilo.

Tano bora ya Miss Kurasini ikiwa katika picha ya Pamoja kabla ya kutangaza mshindi.(kutoka kushoto)
1. FLAVIANA MAEDA ,2. NEEMADOREEN SYLVERY,3. LILIAN JOSEPH,4. BETTY PETER 5. ANGEL GASPER.

 Warembo waliokuwa wakiwania taji la Redds Miss Kurasini 2012 wakicheza show ya ufunguzi wakati wa shindano hilo Mwishoni mwa wiki iliyopita.

EAST AFRICA FASHION EXTRAVAGANZA

 A model showcasing Afrikalos collection by Pan African Designer Mustafa Hassanali during the East African Fashion Extravaganza held in Kampala on May 26 2012
 A model showcasing Afrikalos collection by Pan African Designer Mustafa Hassanali during the East African Fashion Extravaganza held in Kampala on May 26 2012
 A model showcasing Afrikalos collection by Pan African Designer Mustafa Hassanali during the East African Fashion Extravaganza held in Kampala on May 26 2012
 A model showcasing Afrikalos collection by Pan African Designer Mustafa Hassanali during the East African Fashion Extravaganza held in Kampala on May 26 2012
 A model showcasing Afrikalos collection by Pan African Designer Mustafa Hassanali during the East African Fashion Extravaganza held in Kampala on May 26 2012
 A model showcasing Afrikalos collection by Pan African Designer Mustafa Hassanali during the East African Fashion Extravaganza held in Kampala on May 26 2012
 A model showcasing Afrikalos collection by Pan African Designer Mustafa Hassanali during the East African Fashion Extravaganza held in Kampala on May 26 2012
 Pan African Designer Mustafa Hassanali during the finale of his collection at the East African Fashion Extravaganza held in Kampala on May 26 2012

FINA REVOCATUS NDIYE MISS IFM 2012

Mshindi wa Redd’s Miss IFM 2012, Fina Revocatus (katikati) akiwa na Mshindi wa Pili, Jane Augustino (kushoto) na wa Tatu Theresia Issaya muda mfupi baada ya kumalizika kwa shindano lao hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal, Ubungo Jijini Dar..

Top five ya Miss Ifm 2012.

DIAMOND APOFUNIKA BIG BROTHER STARGAME

  MWANAMUZIKI nyota wa Tanzania wa Bongo flava, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz” juzi usiku aliweza kuuteka umati wa wageni maalum uliofurika kwenye ukumbi wa  jumba la shindano la Big Brothe stargame, na afrika kwa ujumla kwa kupiga shoo kali na ya aina yake ,nchini Afrika Kusini.
Katika shoo hiyo ambayo pia ilishuhudiwa na mamilioni ya watazamaji, ulimwenguni kote kupitia ving’amuzi vya Dstv,  Diamond aliweza kudhihirisha uwezo wake huo kwa kuangusha bonge la shoo  ikiwemo kwa wimbo wake wa ‘Mawazo’ ambao  uliwachanganya watu mbalimbali na kuamka vitini mwao na kupanda  jukwaani na kucheza nae.
Diamond kama kawaida yake, aliweza kuvalia vilivyo, alikonga nyoyo za mashabiki hao kwa staili yake ya uchezaji ikiwemo ya kuigiza kama anaanguka pamoja na ile ya miondoko ya msanii wa Orijino komed, Joti, hadi anamaliza shoo hiyo mashabiki hao walikua na hamu ya kumuona na kusikia nyimbo zake.
Awamu ya pili, Mshereheshaji mkuu wa shindano hilo, Osakioduwa maalufu, IK, aliweza kumwita tena jukwaani Diamond ilikuzungumza machache, Diamond bila hiyana aliwashukuru mashabiki kwa sapoti waliompa na kuwapongeza wote.

“Nimefarijika sana,nawapendeni wote Big brother, funs, na wote” alisema Diamond na baadae IK, alimuomba apige wimbo wa mwisho wa kufungia shoo hiyo na kuporomosha kibao cha ‘Moyo wangu’ ambacho nacho kiliwachanganya zaidi mashabiki huku kivutio lkikubwa kikiwa juu ya uchezaji wake huo wa Kijoti.
Katika shoo, hiyo, mshiriki wa Zambia, Mampi aliweza kutolewa kufuatia kupata kura chache zilizopigwa baada ya kuingia kwenye hatari yeye na wenzake wawili,Maneta na Lady May.

Friday, May 25, 2012

MISS CHANG'OMBE 2012 MAMBO BYEEE

Mashindano ya kuwania taji la Redds Miss Tanzania 2012 yanazidi kupamba moto kwa ngazi za vitongoji nchini kote huku vitongoji kadhaa vikiwa tayari vimesha fanya mashindano yake na vingine vikiendelea na maandalizi. 
Wakati wiki hii Mashindano hayo yakitraji kufanyika katika Vitongoji vya Kurasini Jijini Dar es Salaam tayari Wanyange wanaowania taji la Redds Miss Cha'gombe 2012  nao wapo katika mazoezi tayari kwa fainali zao zitakazo fanyika mapema mwezi ujao.
Pichani ni warembo wa Chan'gombe wakiwa katika picha ya pamoja iliyopigwa muda mfupi baada ya kumaliza mazoezi yao Mei 22,2012  katika ukumbi wa TCC Chan'gombe jijini Dar es Salaam.
Warembo hao 11 wanataraji kupanda jukwaani mapema mwezi ujao kuwania taji hilo na kuwania tiketi ya kushiriki Miss Temeke 2012. 

MISS KURASINI 2012 MAMBO MOTOMOTO



Warembo wanaoshiriki shindano la Redds Miss Kurasini 2012 wakiwa katika Picha ya pamoja baada ya kuzungumza na Kamati ya Miss Tanzania.

Wakati Nameems Wear wakiwa ni wadhamini wakuu, wakisaidiwa na Redds, Dodoma wine, Clouds FM, Lady Pepeta, Father Kidevu Blog, Jambo Leo, Aucland Tours & Safaris, Candy Bureau de Change, Flexip, PJ Amusement, Renzo Saloon na Madishisha Video Production.

Aidha Jumla ya warembo 16 wamejitokeza kuwania taji la Redds Miss kurasini 2012, ambalo taji linashikiliwa na Top Model wa Miss Tanzania 2011, Mwajabu Juma.

Akiwataja warembo waliopo kambini na kunolewa na Mwajabu Juma akisaidiwa na Malkia wa vipaji wa Miss Tanzania 2011, Rose Hurbert ni Mariam Sadic (19), Johari Juma (20), Linda Deus (20), Irene Sostheness 20), Neemadoree Sylvery(29), Edna Magige (22), Lindanancy Joseph(20), Elizabeth Mkende (19), Betty Peter (22), Jennifer Njabili (18), Lilian Joseph (20), Farida Mrope (23), Christina Moses (20), Angle Gasper (19), Flaviana Maeda(22) na Sia Kimambo (19). (

MISS NYAMAGANA WAENDELEA KUTESA


Shindano la Miss Nyamagana 2012, Litafanyika katika ukumbi wa Gold Crest Mwanza, tarehe 02/06/2012 ambapo wasanii Linah, Ditto na Hafsa Kazinja watalipamba jukwaa. Mc katika shindano hilo ni msanii maarufu katika tasnia ya uchekeshaji na mzungumzia Mpoki. Jumla ya warembo 20 watapanda jukwaani kumpata Miss Nyamagana 2012, kabla ya shindano la kumpata mrembo wa Mkoa wa Mwanza.
Katika mahojiano yaliyofanyika, warembo wameonekana kuwa na shauku kubwa ya ushindi, wakiaahidi kurudisha taji la Miss Tanzania Mkoani Mwanza. Shndano la Miss Nyamagana 2012 linaandaliwa na Stoppers Entainment ya jijini Mwanza.

CINDY SANYU ATAPELIWA INDIA

Local artiste Cindy Sanyu is not a happy woman after being paid fake dollars from her shows in India. We are not surprised bearing in mind that Cindy and her eleven months baby have been moving in an auto rickshaw(boda boda) in the scorching heat as opposed to an air conditioned Ambassador Matador or Tata Sumo for that case.
Cindy who is cursing the day she saw the words 'This is India' on arrival is wishing she was in area code +256 and IGP Kayihura would help. "I'm havin the worst day of my life so far. Just realised I was paid with fake dollars and I'm in India. I wish Mr.Kayihura was here!"
Her lover Brunette Mario is now busy hunting for more dollars to wire to Cindy and daughter Amani. Cindy next time you need to find out why artistes do not go to certain places, its not that they don't like the quid..hullo!
Related:

PHILIP PHILIPS ASHINDA AMERICAN IDOL


After much anticipation and a record-breaking 132 million votes cast from viewers, former pawn shop worker Phillip Phillips was crowned the Season 11 winner of “American Idol” during Wednesday night’s (May 23) finale, beating out 16-year-old home-schooled high school student Jessica Sanchez.

MTOKO WA CASSIE WIKI HII

Cassie
 Looking fresh and FABulous Cassie is maximizing this summer’s print trend by rocking a heavily printed jumpsuit and matching shades. By teaming her outfit with a pair of plain stilettos and a simple gold necklace and bracelet she has balanced the look perfectly. To created a more glamorous/night look why not try teaming up with a metallic clutch and studded earrin

DOLNALD DRIVER ASHINDA "DANCE WITH STARS"


After several weeks of grueling rehearsals, show-stopping performances and nail-biting eliminations … NFL player Donald Driver and his professional dance partner Peta Murgatroyd were crowned the winners of the 14th season of “Dancing with the Stars.”

When Donald heard his name called as the winner, the football star literally stopped, dropped and rolled.

Wednesday, May 23, 2012

CHRISS BROWN ALIVYOKAMUA BILLBOARDS MUSIC AWARDS 2012



So it’s no secret that Chris can dance his a** off. Everyone knows it, and the boy don’t stop! So who cares if he doesn’t sing live sometimes, right?
Apparently, a lot of people.
After receiving high praises from Brandy, who introduced his performance last night at the 2012 Billboard Music Awards, Chris took to the stage for another high-energy performance of, ‘Turn Up The Music’. He tore up the stage for five straight minutes while surrounded by dancers, guys on bikes doing tricks and special stage lights. Although it was clearly about providing entertainment in the form of great choreography to Chris versus blowing the roof off of the building with his vocals, Chris’ critics definitely weren’t satisfied. Before he even had the chance to finish up his performance, a few celebs took to twitter to call him out for lip-synching:

DR CHAMILEONE JUKWAA MOJA NA SISQO


He’s considered East Africa’s finest and that’s precisely why Jose Chameleone is always taken as the first priority in matters concerning the music industry. Chameleone has been chosen as the main supporting artist at Sisqo’s concert to take place in August
sisqo tattoo picture
instead of Keko who was earlier expected. Keko was the leading candidate to support Sisqo but a few phone calls from Chameleon to Chinedu Ikoroha of Cee Cee Entertainment and Misairi Kabira of Skata Records who are the main guys flying in the RnB sensational was enough to change their minds about who should curtain raise on the show. The promoters believe Chameleone’s name in the music industry can hype their concert as compared to Keko who is just making a name in the entertainment circles.